
Mzongo wa mawazo nao!!!


Mimi huwa sipendi kabisa kuzungumzia mambo ya politiki, lakini kwa sababu Tanzania inasheherekea miaka 48 ya uhuru wake...







Unene umekuwa unahusishwa na magonjwa ya moyo, lakini wataalamu wanasema si kila unene unaweza kuleta magonjwa hayo. Unene wa hips na matako pekee hauna madhara na wala hakuna haja ya kumsumbua mtu na kumwambia apunguze mlo. Pia inasemekana mapaja kuwa mapana ni njia kinga ya magonjwa hayo ya moyo.