Saturday, June 11, 2011
Akina Dada, kuweni Waangalifu na Hawa Wehu!
Natanguliza kumradhi, hili tukio liliniogofya, nikaona nitoe onyo kwa wale wapenda kununua vitu vya barabarani. Jaribuni kuangalia mavazi ya muuzaji, japo inaweza isikinge kwa asilimia mia moja, lakini inaweza kukuepusheni na wasio nazo kama hawa!
Wednesday, June 1, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)