Wednesday, February 3, 2010

Mapumziko yameisha!!

Nilikuwa nimechukua mapumziko kidogo.

Mambo ya mwaka mpya nk. Kunesanesa mduara muhimu kabla ya kuanza majukumu ya mwaka mpya.

Nimerudi kiwanjani hivi karibuni, natumaini nimesamehewa kwa kimya cha ghafla!

No comments: