Showing posts with label Mwaka. Show all posts
Showing posts with label Mwaka. Show all posts

Wednesday, February 3, 2010

Mapumziko yameisha!!

Nilikuwa nimechukua mapumziko kidogo.

Mambo ya mwaka mpya nk. Kunesanesa mduara muhimu kabla ya kuanza majukumu ya mwaka mpya.

Nimerudi kiwanjani hivi karibuni, natumaini nimesamehewa kwa kimya cha ghafla!

Friday, January 1, 2010

Heri ya mwaka mpya wa 2010

Nawatakia heri ya mwaka mpya 2010 kwa watu wote haswa wapenzi wa blogu.

Nipo kijijini napumzika, mtandao ni kazi kweli kuupata.

Ngoja tukusanye nguvu turudi tena kwenye ulingo.