Thursday, December 23, 2010

Maisha ni jinsi mtu unavyojipanga.
Kipendezacho machoni pako, ni kwa jinsi unavyokiona wewe mwenyewe, kwani mwingine kinaweza kuwa kinamuudhi, japo wewe wakipenda sana.

Kila kitu kwa mfano wake waweza kukifanya kikafanana na akili yako inavyotaka, na ndio maana hao ndege watatu warukao angani katika picha hii, unaweza kufananisha na kitu fulani unachokifahamu, au unachotaka kiwe.

Kwa ufupi nataka kuwaasa kuwa maisha ni chaguo lako mwenyewe, furaha itakuwepo, iwapo utakubali hali uliyonayo na kujaribu kuitunza kama ilivyo au kuiboresha mwenyewe.

Tunapoelekea kuanza mwaka mpya wa 2011, basi tuzingatie hayo.

Merry Christmas and Happy New Year 2011!
Photo from Oman Collective Intelligence

Thursday, December 16, 2010

Thought of the Day

You can study and get any certificates. But you cannot get your death certificate

You can become an engineer if you study in engineering college. But you cannot become a president if you study in Presidency College

You can expect a BUS from a BUS stop ... But you cannot expect a FULL from FULL stop

A mechanical engineer can become a mechanic but a software engineer cannot become a soft

You can find tea in a teacup. But you cannot find world in the world cup

You can find keys in Keyboard but you cannot find mother in the motherboard

Lastly, can the great abdominal surgeon perform same surgery to his/her abdomen??!!!

Friday, December 10, 2010

Weekend Irish Quotes!

A good laugh and a long sleep are the two best cures

Who gossips with you will gossip of you

For every wound, a balm.
For every sorrow, cheer.
For every storm, a calm.
For every thirst, a beer!

Again......Wishes you a lovely weekend!

Cheers!

Friday, December 3, 2010

Nani zaidi?

I am not sure if this is competititon or just natural phenomena..

I wish you a cheerful weekend! And, you can guess what is going up there.

Wednesday, December 1, 2010

Upinzani Tanzania Maana Yake ni Vita vya wenyewe kwa wenyewe

Upinzani Tanzania, unaelekea kupoteza uelekeo kwa sasa.

Ule msingi wa upinzani kufanya juhudi ya kuiangalia na kuikosoa serikali (watch dog) sasa ujaelekea kupata doa.

CHADEMA ambacho ni chama kilichokuwa kinatarajiwa na wengi kuonyesha cheche za moto, badala ya kujipanga kutetea maslahi ya nchi, kimeanza kugeuka na kuanza kuwashiana moto ati kwa nini watu hawakwenda bungeni na kudai ni watoro, kwa hiyo wajieleze kimaandishi.

Mimi naona ni ubabe usio na maana sana, nafikiri ulikuwa ni wakati wa CHADEMA kushikamana na kupanga mikakati ya kuleta maendeleo kuliko kuanza kunyoosheana vidole.

Hii inatupa picha mbaya kama kitaingia madarakani, kwani kinaelekea kuwa chama cha migogoro na vurugu.

Kina wajibu wa kutulizana kuliko kuleta mkanganyiko na mwishowe kuporiomoka kama NCCR mageuzi ilivyoporomoka wakati uleee wa Mrema vs Marando.

Jameni, mtusaidie nyieeee