Friday, February 12, 2010

Ujumbe wa wikiend: Mazoezi ya Mwili


Tunaaza wikendi Jamani.
Tusisahau kufanya mazoezi, hasa kwa wale mlio zoea kuendesha magari kwenda kazini kila siku.
Afya ya viungo ni muhimu sana kujiweka fit na kuongeza muda wa kuishi.
Kufanya mazoezi sio gharama kama kutibu maradhi yanayosababishwa na kutokufanya mazoezi.
Wikend njema jamani

1 comment:

Halil Mnzava said...

Ni kweli mazoezi ni muhimu kwa afya zetu.