![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEpnyX_n9MYPl5dybqCX2AcSdD7X8Aks14VSgyLQt1eOBo5-IfCkoboi1HFgjBq_oDPEkxHzik7tlMdRaqoXW40E-OlVC7ibzu_JAwcFQCDA-ARgFAtNkVZ7nLquWBGMjElH_mVHYWtpa0/s320/1111.jpg)
Ila unene wa tumbo yaani kitambi ndio mbaya.
Inasemekana wanawake wenye hips pana pamoja na kwamba wana usalama kwa magonjwa ya moyo, lakini waume zao wapo katika hatari ya kupata magonjwa ya moyo, kwa sababu ya wasiwasi, hasa wake zao wanapolazimika kwenda kwenye semina au warsha na kulazimika kukaa huko kwa zaidi ya siku 2, huku nyuma wanaume viroho huwadunda sana na kusababisha matatizo ya moyo.
Sijui wewe unasemaje!?
Picha: Imebanduliwa kutoka kwa Masangu
1 comment:
Mmmmhhh! mimi sisemi kitu kwa sasa nasubiri kwanza!
Post a Comment