Thursday, April 21, 2011

Salamu za Juma Kuu na Pasaka

Wakati tunaendelea kuingojea sikuu ya Paska, tunapaswa kuwa wema kwa matendo na kukumbuka mateso ya yule watu wengi wanaomwaminiya ya kuwa alikubali kuteswa kwa ajili ya kiumbe binadamu. 
  
Wakati tunapotafakari picha hii na maajabu yake, basi tujiandae vyema kuupokea ufufko wake kwa matendo mema. 
 
Nawatakia kila la heri katika Ijumaa kuu, paska na jumatatu ya paska. 
  
Mbarikiwe sana

4 comments:

malkiory said...

Heri na kwako pia.

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Hiki ni kipindi cha kujinyenyekeza na kutafakari lengo na dhumuni la maisha yetu hapa duniani.

Mungu Aendelee kukubariki wewe pamoja na familia yako. Pasaka Njema !!!

Yasinta Ngonyani said...

Na kwako pia!

Rachel Siwa said...

Na wewe pia!