Monday, May 10, 2010

Hongera Chelsea


Nawapa pongezi wapenzi wote wa Chelsea kwa kuweza kutwaa ubingwa kwa kubahatisha!!!

Msinishambulie kwa hilo.

Mabao 8 - 0 ni mengi lakini mkicheza na timu yenye wachezaji pungufu... mlikuwa na haki ya kuwabamiza.
Man. united kazeni buti tena, msimu ujao una kazi kweli kweli.

Gunners... msimu wenu kuvunja watu miguu sasa.. ha ha haaaa

No comments: