Katiak kupitia vibaraza vya watu, nimekutana na picha nyingi za mji wa Mwanza, ambazo kwa kweli zimenivutia sana hasa ujengaji wa majumba katika milima yenye mawe na pia usafi wa mji wenyeweKwa picha zaidi angalia hapa
Kisha tafuta kwenye post za April 2010


2 comments:
Ahsante sana kwa taswira ya mwanza kwa kweli itabidi tufunge safari kwenda huko maana duh!
Ni kuzuri sana. Ahsante kwa picha.
Post a Comment