Saturday, June 11, 2011

Akina Dada, kuweni Waangalifu na Hawa Wehu!

Natanguliza kumradhi, hili tukio liliniogofya, nikaona nitoe onyo kwa wale wapenda kununua vitu vya barabarani. Jaribuni kuangalia mavazi ya muuzaji, japo inaweza isikinge kwa asilimia mia moja, lakini inaweza kukuepusheni na wasio nazo kama hawa!

Wednesday, June 1, 2011

Mambo ya Usawa wa Kijinsia


Piga kelele weeee, lakini.....