
Mimi ni mpenzi sana wa chokleti, nikiiona mate hujaa mdomoni.
Lakini nilipoona haya mashindano ya kupigana mieleka huku mwili mzima ukiwa umepakawa chokleti, ....... nilisikia kama vile kutema.
Mavazi wanayovaa pia... ambayo ndio kama ndoano ya kumwangusha mtu, nisikilizie ikivutwa watu wanavyoachwa @*%?

Hawa ni akina dada huko Belarus wakiwa katika mieleka hiyo ya ukichaa, ati na watazamaji wapo kushuhudia, na tena sijui wanalipia!!
Picha kwa hisani ya travelNews
